50 Cent | |
---|---|
50 Cent, mnamo 2006
| |
Maelezo ya awali | |
Jina la kuzaliwa | Curtis James Jackson III |
Amezaliwa | 6 Juni 1975 |
Asili yake | Queens, New York |
Aina ya muziki | Hip hop |
Kazi yake | Rapa Mwigizaji Mtayarishaji |
Studio | Jam Master Jay Records Columbia Records Aftermath Records G-Unit Records Interscope Records Shady Records Violator Records |
Ame/Wameshirikiana na | G-Unit Eminem Dr. Dre Mobb Deep Sha Money XL |
Tovuti | 50cent.com |
Curtis James Jackson III (amezaliwa tar. 6 Juni 1975) ni mwanamuziki wa rap-hip hop, mwigizaji na mtayarishaji kutoka nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama 50 Cent.
Ameanza kupata umaarufu zaidi baada ya kutoa albamu yake ya "Get Rich or Die Tryin" na 'The Massacre'. 50 Cent amepata Plantinam nyingi na mafanikio makubwa katika albamu zake mbili, aliuza nakala zaidi ya Mil. 21 kwa hesabu ya dunia nzima.