50 Cent

50 Cent
50 Cent, mnamo 2006
50 Cent, mnamo 2006
Maelezo ya awali
Jina la kuzaliwa Curtis James Jackson III
Amezaliwa 6 Juni 1975 (1975-06-06) (umri 49)
Asili yake Queens, New York

Marekani

Aina ya muziki Hip hop
Kazi yake Rapa
Mwigizaji
Mtayarishaji
Studio Jam Master Jay Records
Columbia Records
Aftermath Records
G-Unit Records
Interscope Records
Shady Records
Violator Records
Ame/Wameshirikiana na G-Unit
Eminem
Dr. Dre
Mobb Deep
Sha Money XL
Tovuti 50cent.com

Curtis James Jackson III (amezaliwa tar. 6 Juni 1975) ni mwanamuziki wa rap-hip hop, mwigizaji na mtayarishaji kutoka nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama 50 Cent.

Ameanza kupata umaarufu zaidi baada ya kutoa albamu yake ya "Get Rich or Die Tryin" na 'The Massacre'. 50 Cent amepata Plantinam nyingi na mafanikio makubwa katika albamu zake mbili, aliuza nakala zaidi ya Mil. 21 kwa hesabu ya dunia nzima.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne