Abdon (kwa Kiebrania עַבְדּוֹן, ‘Aḇdōn, "Mtumishi" au "Utumishi") alikuwa mmojawapo kati ya Waamuzi wa Biblia.
Kadiri ya Waamuzi 12:13-15 alikuwa wa kabila la Efraimu akaongoza Israeli kwa miaka 8[1].
Alikuwa na watoto wa kiume 40 na wajukuu wa kiume 30, ambao kila mmoja alikuwa na punda wake. Hii inaonyesha alikuwa tajiri.
Waamuzi 12 na wengineo |
---|
{{cite journal}}
: Cite journal requires |journal=
(help)