Abdulrazak Gurnah

Abdulrazak Gurnah

Abdulrazak Gurnah Al Kindi (amezaliwa Zanzibar, 20 Desemba 1948[1] ) ni mwandishi mwenye asili ya Zanzibar aliyeishi nchini Uingereza tangu mwaka 1968. Huko anafundisha katika Chuo Kikuu cha Kent tangu mwaka 1982.

Tangu mwaka wa 1987 alitolea riwaya kadhaa kwa lugha ya Kiingereza. Mwaka 2021 alipewa tuzo ya Nobel ya Fasihi[2][3].

  1. Loimeier, Manfred (2016-08-30). "Gurnah, Abdulrazak". Katika Ruckaberle, Axel (mhr.). Metzler Lexikon Weltliteratur: Band 2: G–M (kwa Kijerumani). Springer. ku. 82–83. ISBN 978-3-476-00129-0. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 7 Oktoba 2021. Iliwekwa mnamo 7 Oktoba 2021.{{cite book}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. https://www.nobelprize.org/prizes/literature/2021/summary/
  3. https://www.nobelprize.org/prizes/literature/2021/press-release/

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne