Abraham Lincoln

Abraham Lincoln


Muda wa Utawala
Machi 4, 1861 – Aprili 15, 1865
Makamu wa Rais Hannibal Hamlin (1861–1865)
Andrew Johnson (Machi–Apr. 1865)
mtangulizi James Buchanan
aliyemfuata Andrew Johnson

tarehe ya kuzaliwa (1809-02-12)Februari 12, 1809
Kentucky, Marekani
tarehe ya kufa 15 Aprili 1865 (umri 56)
Washington, D.C., Marekani
mahali pa kuzikiwa Lincoln Tomb
chama Whig (Kabla ya 1854)
Republican (1854–1864)
National Union (1864–1865)
ndoa Mary Todd Lincoln (m. 1842) «start: (1842-11-04)»"Marriage: Mary Todd Lincoln to Abraham Lincoln" Location: (linkback://sw.wikipedia.orgview_html.php?sq=&lang=sw&q=Abraham_Lincoln)
watoto Robert Todd Lincoln
Edward Baker Lincoln
William Wallace Lincoln
Tad Lincoln
signature
Uuaji wa Lincoln.

Abraham Lincoln (12 Februari 180915 Aprili 1865) alikuwa Rais wa 16 wa Marekani kuanzia mwaka wa 1861 hadi 1865.

Alikuwa na Kaimu Rais wawili: kwanza Hannibal Hamlin, halafu Andrew Johnson aliyemfuata kama Rais, Lincoln alipouawa.

Lincoln amejulikana kama rais wa upande wa kaskazini katika vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Marekani kati ya majimbo ya kaskazini dhidi ya Shirikisho la Madola ya Amerika la kusini.

Kwa hiyo hukumbukwa kama rais aliyeleta mwisho wa utumwa, yaani uhuru kwa watumwa wote wa Marekani na kuunganisha taifa tena.

Juhudi zake zilimgharimu uhai.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne