Abrahamu wa Aleksandria

Picha takatifu ya Mt. Abrahamu.

Abrahamu wa Aleksandria (Ebn-Zaraa, Syria - 3 Desemba 978) kuanzia mwaka 975 hadi kifo chake alikuwa Patriarki wa Aleksandria (Misri) na Papa wa 62 wa Kanisa la Wakopti ambalo linamheshimu kama mtakatifu.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne