Abrahamu wa Aleksandria (Ebn-Zaraa, Syria - 3 Desemba 978) kuanzia mwaka 975 hadi kifo chake alikuwa Patriarki wa Aleksandria (Misri) na Papa wa 62 wa Kanisa la Wakopti ambalo linamheshimu kama mtakatifu.
Developed by Nelliwinne