Afia

Mchoro mdogo wa kifodini cha Filemoni, Afia na Onesimo.

Afia (pia: Apia) alikuwa mwanamke Mkristo wa karne ya 1 anayetajwa katika barua ya Mtume Paulo kwa Filemoni (Film 1:2), baadaye askofu wa Kolosai, ambaye labda Afia alikuwa mke wake [1].

Inasemekana walifia dini pamoja.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 22 Novemba[2]

  1. https://www.santiebeati.it/dettaglio/90445
  2. Martyrologium Romanum

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne