Aga Khan (Kifarsi: آقا خان) ni cheo cha imamu au kiongozi wa Wanizari ambao ni kundi kubwa la pili ndani ya Waislamu Washia wakihesabiwa katika dhehebu la Waismaili.
Maimamu wa Wanizari walianza kutumia cheo cha Aga Khan wakati wa karne ya 19 ambako Hasan Ali Shah aliyehesabiwa kama imamu wa 46 wa Kiismaili alipewa cheo hiki na mfalme au shah wa Uajemi.
MaAga Khan hadi sasa ni wafuatao:
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |