Agano

Amri Kumi zilivyoandikwa mbele ya ikulu ya Texas, Marekani.

Agano ni neno lenye maana nzito katika dini mbalimbali, hasa zile zinazofuata imani ya Abrahamu kwa Mungu mmoja.

Upekee wake ni kwamba agano hilo si kati ya pande mbili zilizo sawa, kama yale kati ya watu, bali ni Mungu anayelianzisha na kupanga masharti, akimhimiza binadamu kukubali na kuwa mwaminifu.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne