Ali Kiba | |
---|---|
![]() | |
Maelezo ya awali | |
Jina la kuzaliwa | Ali Salehe Kiba |
Amezaliwa | Novemba 29 1986 |
Asili yake | Iringa, ![]() |
Aina ya muziki | Mwanamuziki |
Kazi yake | Mwimbaji Mwanasoka |
Aina ya sauti | Sauti, piano |
Miaka ya kazi | 2006 hadi sasa |
Studio | Rockstars4000 Kings Music |
Ame/Wameshirikiana na | Aslay Abdu Kiba Christian Bella Ommy Dimpoz M.I Patoranking Abby Skills Mr. Blue |
Ali Kiba (anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Ali Salehe Kiba; pia: King Kiba; alizaliwa mkoani Iringa, 26 Novemba 1986) ni mwanamuziki wa Tanzania, mwimbaji na mtunzi wa nyimbo chini ya lebo yake ya King's Music records na lebo aliyokuwa akiifanyia kazi Rockstar4000, ambayo alikuwa miongoni mwa wamiliki wake.
Ana vipaji vilivyo tofauti na wasanii wenzake, hivyo amejikita sehemu nyingine kwa kusajiliwa na timu ya mpira wa miguu "Tanga Coastal Union" ya mkoani Tanga kucheza mpira wa miguu kwa msimu wa 2018/2019 wa Vodacom Premier League. Lakini pia Ali kiba ni mmiliki wa media ya habari ya Crown mediailiyopo na makazi yake jijini Dar es Salaam.