Alpaka

Alpaka
Alpaka asiyenyoleka akila (Vicugna pacos)
Alpaka asiyenyoleka akila
(Vicugna pacos)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mamalia (Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda: Artiodactyla (Wanyama wenye vidole viwili au vinne mguuni)
Nusuoda: Tylopoda (Wanyama wenye miguu inayovimba)
Familia: Camelidae (Wanyama walio na mnasaba na ngamia)
J. E. Gray, 1821
Jenasi: Vicugna (Alpaka na vikunya)
Lesson, 1842
Spishi: V. pacos (Alpaka)
(Linnaeus, 1758)
Msambao wa alpaka
Msambao wa alpaka

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Alpaka ni mnyama wa kufugwa wa spishi Vicugna pacos katika familia Camelidae, anayeishi Amerika Kusini. Alpaka anafanana na lama mdogo, lakini ameainishwa katika jenasi tofauti. Kuna nususpishi mbili za alpaka; alpaka suri na alpaka huacaya.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne