Alpi

Mlima wa Alpi unaopatikana katika nchi ya Italia
Alpi kutoka angani.

Alpi (kwa Kijerumani: Alpen; kwa Kifaransa: Alpes; kwa Kiitalia: Alpi; kwa Kislovenia: Alpe) ni safu ya milima kunjamano katika Ulaya inayotenganisha Ulaya ya Kati na Ulaya ya Kusini, hususan rasi ya Italia.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne