Alpi (kwa Kijerumani: Alpen; kwa Kifaransa: Alpes; kwa Kiitalia: Alpi; kwa Kislovenia: Alpe) ni safu ya milima kunjamano katika Ulaya inayotenganisha Ulaya ya Kati na Ulaya ya Kusini, hususan rasi ya Italia.
Developed by Nelliwinne