Amie Bojang-Sissoho

Amie Bojang-Sissoho
Amezaliwa
Gunjur
Nchi Gambia
Kazi yake mwandishi wa habari, mwanaharakati wa haki za wanawake na mwanasiasa. Aliwahi kuwa mkurugenzi wa vyombo vya habari

Amie Bojang-Sissoho ni mwandishi wa habari, mwanaharakati wa haki za wanawake na mwanasiasa wa nchini Gambia. Aliwahi kuwa mkurugenzi wa vyombo vya habari na uhusiano wa umma na mwanamke wa kwanza wa Gambia kuteuliwa na rais Adama Barrow[1].

  1. https://standard.gm/amie-bojang-sissoho-director-of-press-at-state-house/

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne