Anatii

Anatii
Nchi Afrika Kusini
Majina mengine Anathi Bhongo Mnyango
Kazi yake Msanii


Anathi Bhongo Mnyango (alizaliwa Januari 8, 1993) anayejulikana sana kama Anatii, ni mwimbaji wa rapper, mtunzi wa nyimbo na mtayarishaji wa rekodi wa nchini Afrika Kusini.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne