| |||||
Kaulimbiu ya taifa: Each Endeavouring, All Achieving (Jaribu kila kitu, Faulu kila kitu) | |||||
Wimbo wa taifa: Fair Antigua, We Salute Thee (Antigua mzuri twakusalimu) Wimbo wa kifalme: God Save the Queen1 | |||||
![]() | |||||
Mji mkuu | Saint John's | ||||
Mji mkubwa nchini | Saint John's | ||||
Lugha rasmi | Kiingereza | ||||
Serikali | Ufalme wa Kikatiba Charles III wa Uingereza Rodney Williams Gaston Browne | ||||
Uhuru kutoka Uingereza |
1 Novemba 1981 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
440 km² (ya 182) -- | ||||
Idadi ya watu - 2020 kadirio - Msongamano wa watu |
100,772 (ya 182) 186/km² (57) | ||||
Fedha | East Caribbean dollar (XCD )
| ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
AST (UTC-4) ADT (UTC-3) | ||||
Intaneti TLD | .ag | ||||
Kodi ya simu | +268
- | ||||
1 God Save The Queen ni kama wimbo la taifa lakini hutumiwa tu kwenye nafasi za kifalme. |
Antigua na Barbuda ni nchi ya visiwani ya Amerika kwenye bahari ya Karibi. Ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Madola.
Inaundwa na visiwa viwili vya Antigua na Barbuda vinavyokaliwa na watu pamoja na visiwa vingine vidogo kama cha Redonda visivyo na wakazi.
Antigua na Barbuda ni sehemu ya funguvisiwa la Antili Ndogo pamoja na Guadeloupe, Dominica, Martinique, Saint Lucia, Saint Vincent na Grenadini, Barbados, Grenada, Trinidad na Tobago upande wa kusini halafu Montserrat, Saint Kitts na Nevis, Saint Barthélemy, Saint Martin na Anguilla upande wa magharibi.