| |||||
Kaulimbiu ya taifa: "Kisiwa chenye heri" | |||||
Wimbo wa taifa: Aruba Dushi Tera | |||||
Mji mkuu | Oranjestad | ||||
Mji mkubwa nchini | Oranjestad | ||||
Lugha rasmi | Kiholanzi, Papiamento1 | ||||
Serikali | Ufalme wa kikatiba | ||||
Uhuru |
|||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
178.91 km² () - | ||||
Idadi ya watu - 2018 kadirio - Msongamano wa watu |
116,600 (ya 193) 624/km² (ya 22) | ||||
Fedha | Florini ya Aruba (AWG2 )
| ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
AST (UTC-4) (UTC) | ||||
Intaneti TLD | .aw | ||||
Kodi ya simu | +297
- |
Aruba ni nchi ya kisiwani katika Bahari ya Karibi karibu na pwani ya Venezuela.
Tangu mwaka 1636 ilikuwa kwa kwikwi koloni la Uholanzi, lakini sasa ni "nchi ya kujitawala" ndani ya muundo wa "Ufalme wa Nchi za Chini" pamoja na Uholanzi yenyewe na nchi nyingine mbili za Karibi zilizokuwa makoloni ya Uholanzi.