Asia ya Mashariki

Asia ya Mashariki ni kanda la bara la Asia linalojumuisha takriban 15% za eneo la bara lote.

Asia ya Mashariki.

Nchi zifuatazo huhesabiwa kuwa sehemu za Asia ya Mashariki:

Kiutamaduni nchi hizi zote zimeathiriwa na China jinsi inavyonekana katika maandishi, falsafa ya Konfutse, Ubuddha wa Mahayana na mtindo wa kula kwa kutumia vijiti.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne