Babyface

Babyface
Edmonds mnamo Mei 2013
Taarifa za awali
Jina la kuzaliwaKenneth Brian Edmonds
Amezaliwa10 Aprili 1959 (1959-04-10) (umri 65)
Indianapolis, Indiana, U.S.
Kazi yakeMwimbaji, mtunzi wa nyimbo, mtayarishaji wa rekodi
Ala
  • Sauti
  • gitaa
  • kinanda
Miaka ya kazi1977–hadi sasa
StudioChi Sound, SOLAR, Epic, Arista, Mercury, Motown, Def Jam
Ameshirikiana naToni Braxton, Whitney Houston, The Deele, Az Yet, Manchild, TLC, After 7
Wavutibabyfacemusic.com

Kenneth Brian Edmonds[1][2] (amezaliwa 10 Aprili, 1959), anajulikana sana kwa jina lake la kisanii kama Babyface, ni mwimbaji, mtunzi wa nyimbo na myatarishaji wa rekodi kutoka nchini Marekani. Ametunga na kutayarisha zaidi ya vibao 26 vilivyoshika nafasi ya kwanza tangu kuanza kazi yake ya muziki wa R&B, na ameshinda tuzo 11 za Grammy Awards.

  1. "Babyface - Biography". biography.com. A&E Television Networks, LLC. Iliwekwa mnamo 2015-04-15.
  2. "Kenneth "Babyface" Edmonds - Topics". bet.com. Black Entertainment Television, LLC. Iliwekwa mnamo 2015-04-15.

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne