Bad Boy Records

Bad Boy Records
Shina la studio Warner Music Group
Imeanzishwa 1993
Mwanzilishi Sean Combs
Usambazaji wa studio Atlantic Records (US)
WEA International (nje ya-US)
Aina za muziki Mbalimbali
Nchi Marekani
Mahala New York City
Tovuti Bad Boy Records

Bad Boy Records (jina kamili ni Bad Boy Entertainment) ni studio ya kurekodia muziki ya East Coast Hip-Hop/R&B iliyoanzishwa na mtayarishaji/rapa maarufu wa Kimarekani Bw. Sean "Diddy" Combs kunako mwaka wa 1993[1]. Leo hii inaendesha shughuli zake za muziki ikiwa chini ya kampuni ya muziki ya Warner Music Group, na kazi zake zinasambazwa na studio ya Atlantic Records.

  1. Bad Boy’s Good Man - March 2004

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne