Bamako

Jiji la Bamako
Nchi Mali
Mkoa Bamako Capital District
Bamako na mto Niger
Bamako nchini Mali
Bamako kutoka mlimani
Watu huchunguza takataka Bamako
Watu huchunguza takataka Bamako

Bamako ni mji mkuu wa Mali pamoja na kuwa mji mkubwa nchini ikiwa na wakazi milioni moja na nusu. Iko mwambaoni wa mto Niger katika kusini ya nchi.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne