Barafuto

Barafuto huitwa pia "mto wa barafu". Ni kanda kubwa la barafu iliyoanza kutambaa kutokana na uzito wake ikifuata graviti kwenye mtelemko. Kwa sababu hiyo barafuto zinapatikana hasa mlimani.

Barafuto

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne