Barak

Barak na Debora wakiangalia maiti ya Sisera hemani mwa Jaeli.
Jaeli akionyesha maiti ya Sisera kwa Barak, kadiri ya James Tissot.

Barak (kwa Kiebrania בָּרָק, Bārāq) mwana wa Abinoam alikuwa kiongozi wa jeshi la makabila ya kaskazini wakati wa Waamuzi wa Biblia.

Kadiri ya Waamuzi 4-5 alikomboa Israeli kutoka mikono ya Wakananayo akishirikiana na nabii Debora[1]. Ilikuwa mwaka 1125 KK hivi.

Waraka kwa Waebrania 11:32-34 unamsifu kwa imani yake iliyompa ushindi.

  1. "Barak", Jewish Encyclopedia

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne