Batman (kifupi cha Milima ya Batı Raman) ni jina la mji mkuu wa Mkoa wa Batman, katika Uturuki. Mji huo pia unajulikana kwa jina la Kikurdi Êlih au Iluh.[1] Ni mji ulioko katika Mto Batman ambao unajulikana sana kwa jina la Kikurdi kusini-mashariki mwa nchi ya Uturuki.[2]