Batman

Mji wa Batman.

Batman (kifupi cha Milima ya Batı Raman) ni jina la mji mkuu wa Mkoa wa Batman, katika Uturuki. Mji huo pia unajulikana kwa jina la Kikurdi Êlih au Iluh.[1] Ni mji ulioko katika Mto Batman ambao unajulikana sana kwa jina la Kikurdi kusini-mashariki mwa nchi ya Uturuki.[2]

  1. Nefel
  2. Distribution of Kurdish PeopleGlobalSecurity.org

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne