Bettina Arndt

Bettina Arndt

Bettina Mary Arndt (amezaliwa Agosti 1 1949) ni mwandishi kutoka Australia na ni mchangiaji aliyejikita kuzungumzia masuala ya kujamiiana na jinsia. Alianza kama mtaalamu na mtetezi wa masuala ya kike, alikuja kupata umaarufu mwaka wa 1970, alianza kazi ya utangazaji na uandishi na aliweza kuandika vitabu kadhaa. Ndani ya miongo miwili iliyopita aliachana na masuala ya kutetea haki za wanawake na kujikita kuzungumzia masuala ya manyanyaso ya kijinsia na masuala ya ukatili pamoja na kutetea haki za wanaume.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne