Bhutan

'འབྲུག་ཡུལ
Druk Gyal-khab
Brug Rgyal-khab

Dru Gäkhap

Ufalme wa Bhutan
Bendera ya Bhutan Nembo ya Bhutan
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: "Nchi moja, taifa moja"
Wimbo wa taifa: Druk tsendhen
Lokeshen ya Bhutan
Mji mkuu Thimphu
27°28′ N 89°38′ E
Mji mkubwa nchini Thimphu
Lugha rasmi Kidzongkha
Serikali Ufalme
Jigme Khesar Namgyal Wangchuck (འཇིགས་མེད་གེ་སར་རྣམ་རྒྱལ་དབང་ཕྱུག)
Tshering Tobgay (ཚེ་རིང་སྟོབས་རྒྱས)
Ufalme wa kikatiba
Wangchuk Dynasty
17 Desemba 1907
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
38,394 km² (ya 133)
1.1
Idadi ya watu
 - 2021 kadirio
 - 2022 sensa
 - Msongamano wa watu
 
777,486 (ya 159)
727,145
20.3/km² (ya 210)
Fedha Ngultrum (BTN)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
BTT (UTC+6:00)
(haitumiki) (UTC+6:00)
Intaneti TLD .bt
Kodi ya simu +975

-


Ramani ya Bhutan

Bhutan ni nchi ndogo ya Bara Hindi katika milima ya Himalaya.

Nchi imepakana na Uhindi na jimbo la Tibet la China.

Imetawaliwa na mfalme Jigme Khesar Namgyel Wangchuck tangu 2006.

Kuna wakazi takriban lakhi saba unusu.

Mji mkuu unaitwa Thimphu.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne