Bizanti

Mahali pa Bizanti (Konstantinopoli, Istanbul)
Rasi ya Bizanti

Bizanti (pia Byzantium au Byzantion kutoka kwa Kigiriki Βυζάντιον) ilikuwa mji wa Ugiriki ya Kale. Wakati wa Dola la Roma jina lake lilibadilishwa kuwa Konstantinopoli na tangu karne ya 20 inajulikana kama Istanbul.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne