Boston | |||
| |||
Mahali pa mji wa Boston katika Marekani |
|||
Majiranukta: 42°19′18″N 71°5′21″W / 42.32167°N 71.08917°W | |||
Nchi | Marekani | ||
---|---|---|---|
Jimbo | Massachusetts | ||
Wilaya | Suffolk | ||
Idadi ya wakazi | |||
- Wakazi kwa ujumla | 608,352 | ||
Tovuti: www.cityofboston.gov |
Boston ndiyo mji mkuu katika jimbo la Massachusetts. Mji una wakazi wapatao 7,514,759 na hiyo ni kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2007.
Mji uko futi 141 juu ya usawa wa bahari.