Bruna Vilamala

Bruna akiwa Barcelona mnamo 2021

Bruna Vilamala Costa (alizaliwa 4 Juni 2002) ni mchezaji wa mpira wa miguu kutoka Uhispania, ambaye anacheza kama mshambuliaji katika klabu ya Brighton & Hove Albion, inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake ya Uingereza (WSL), akitokea FC Barcelona kwa mkopo.[1]

  1. "Carmen Menayo Liga F". Carmen Menayo (kwa Kihispania). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2024-09-16. Iliwekwa mnamo 2024-09-16.

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne