Burkina Faso | |
---|---|
Burkĩna Faso (Kimoore) 𞤄𞤵𞤪𞤳𞤭𞤲𞤢 𞤊𞤢𞤧𞤮 (Kifulani) ߓߎߙߞߌߣߊ ߝߊߛߏ (Kijula) | |
Kaulimbiu ya taifa: Unité–Progrès–Justice (Kifaransa) "Umoja–Maendeleo–Haki" | |
Wimbo wa taifa: Ditanyè (Kifaransa) "Wimbo wa ushindi" | |
![]() Mahali pa Burkina Faso | |
![]() Ramani ya Burkina Faso | |
Mji mkuu na mkubwa nchini | Wagadugu |
Lugha rasmi | Kimoore Kibisa Kijula Kifulani |
Idadi ya watu | |
• Kadirio la 2023 | 22 489 126[1] |
Burkina Faso ni nchi ya Afrika ya Magharibi isiyo na pwani kwenye bahari yoyote.
Imepakana na nchi zifuatazo: Mali upande wa kaskazini, Nijeri upande wa mashariki, Benin, Togo, Ghana na Kodivaa upande wa kusini.
{{cite web}}
: CS1 maint: date auto-translated (link) (Archived 2023 edition)