Chapati

Upikaji wa chapati.
Chapati ya kawaida na chapati iliyokunjwa.

Chapati au Chapathi ni aina ya mkate ambao haukufura (inayojulikana kama roti) kutoka Bara Hindi. Matoleo yake hupatikana nchini Turkmenistan, katika nchi za Afrika Mashariki: Uganda, Kenya na Tanzania na katika Afrika Magharibi, na miongoni mwa nchi nyingine, Ghana.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne