Cheryl Fozzy Foster (alizaliwa 4 Oktoba 1980) alikuwa mchezaji wa mpira wa miguu na kwa sasa ni mwamuzi wa nchini Welisi.[1] Alishikilia rekodi ya mchezaji bora katika timu ya taifa ya soka ya wanawake ya Welisi mwaka 2009, alicheza mechi yake ya kwanza ya kimataifa mwaka 1997. [2]
Katika ngazi ya klabu Foster alichezea kwa muda wa miaka tisa katika klabu ya wanawake ya Liverpool, alicheza katika misimu miwili ya kwanza ya ligi ya FA WSL mwaka 2011 na 2012 . Baadae alisajiliwa na klabu ya Doncaster Rovers Belles mnamo Januari 2013, kabla ya kustaafu kwake.
{{cite web}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)
{{cite web}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)