Chidinma Okeke

Chidinma Nkeruka Okeke
Amezaliwa 11 Agosti 2000
Nigeria
Nchi Nigeria
Kazi yake Mchezaji soka

Chidinma Nkeruka Okeke (alizaliwa 11 Agosti 2000) ni mchezaji wa mpira wa miguu nchini Nigeria ambae anacheza katika klabu ya Madrid CFF. Awali alikuwa katika klabu ya FC Robo katika Ligi Kuu ya Wanawake ya Nigeria na pia alicheza katika timu ya taifa ya Nigeria. Alishiriki na timu ya Nigeria ambayo ilishinda Kombe la Wanawake la WAKU la mwaka 2019 huko Ivory Coast. [1][2]

  1. "Chidinma Okeke". Soccerway. Iliwekwa mnamo 3 Juni 2019.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. "Falcons edge Ivory Coast on penalties to win first WAFU Cup". The Cable. Iliwekwa mnamo 3 Juni 2019.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne