Chokoleti

Aina mbalimbali za chokoleti.
Mbegu za kakao ni chanzo cha chokoleti.
Chokoleti hukubali kila umbo: sura ya Yesu kwenye chokoleti.

Chokoleti ni pipi au chakula kitamu kinachotengezwa kwa kutumia kakao, sukari na mafuta. Jina hilo linatumiwa pia kwa kinywaji cha kakao.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne