Choo

Choo cha maji cha kukalia chenye kiti kilichopambwa

Choo (pia: msala) ni mahali ambako watu hutoa kinyesi, yaani mkojo na mavi. Neno hili latumiwa pia na watu kwa kutaja kinyesi, hasa wakilenga kuepukana na majina husika.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne