Chuo Kikuu cha Benin

Chuo Kikuu cha Benin
Chuo Kikuu cha Benin
Wanafunzi40,000
MahaliBenin City, Nigeria
6°40′N 6°0′E / 6.667°N 6.000°E / 6.667; 6.000
Tovutiwww.uniben.edu

Chuo Kikuu cha Benin kilichopo katika jiji la Benin, jimbo la Edo, ni moja ya vyuo vikuu vilivyo vikubwa zaidi nchini Nigeria.

Hufundisha masomo mbalimbali, yakiwa pamoja na utabibu. Ina wanafunzi takriban 36,000.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne