Makao Makuu | 3500 Lacey Road Suite 100 Downers Grove, IL 60515, U.S. |
---|---|
Tovuti | comptia.org |
Chama cha Sekta ya Teknolojia ya Kompyuta (CompTIA) ni chama cha biashara kisicholenga faida cha Marekani, kinachotoa vyeti vya kitaaluma kwa sekta ya teknolojia ya habari (IT). Inachukuliwa kuwa moja ya vyama vya juu vya biashara vya tasnia ya teknolojia ya habari (IT). Kulingana na Downers Grove, CompTIA iliopo mji wa Illinois hutoa vyeti vya kitaaluma visivyoegemea upande wowote kwa wanatasnia katika nchi zaidi ya 120. Shirika hutoa zaidi ya masomo 50 ya tasnia kila mwaka ikienda sambamba na mabadiliko ikiwemo pamoja na maboresho kadha wa kadha kwenye tasnia hiyo. Zaidi ya watu milioni 2.2 tayari wamefanikiwa kupata vyeti vya CompTIA tangu chama hicho kilipoanzishwa.[1]
{{cite web}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)