CompTIA

CompTIA
Makao Makuu3500 Lacey Road
Suite 100
Downers Grove, IL 60515, U.S.
Tovuticomptia.org

Chama cha Sekta ya Teknolojia ya Kompyuta (CompTIA) ni chama cha biashara kisicholenga faida cha Marekani, kinachotoa vyeti vya kitaaluma kwa sekta ya teknolojia ya habari (IT). Inachukuliwa kuwa moja ya vyama vya juu vya biashara vya tasnia ya teknolojia ya habari (IT). Kulingana na Downers Grove, CompTIA iliopo mji wa Illinois hutoa vyeti vya kitaaluma visivyoegemea upande wowote kwa wanatasnia katika nchi zaidi ya 120. Shirika hutoa zaidi ya masomo 50 ya tasnia kila mwaka ikienda sambamba na mabadiliko ikiwemo pamoja na maboresho kadha wa kadha kwenye tasnia hiyo. Zaidi ya watu milioni 2.2 tayari wamefanikiwa kupata vyeti vya CompTIA tangu chama hicho kilipoanzishwa.[1]

  1. Mark Zonca (Agosti 2016). "CEO Profile – Todd Thibodeaux". Naperville Magazine. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2020-02-05. Iliwekwa mnamo 2022-04-21.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne