Craig Northey

Craig Northey akitumbuiza katika CBC Toque Sessions

Craig Northey (alizaliwa 9 Februari, 1962) ni mwanamuziki na mtunzi wa muziki wa filamu na televisheni kutoka Kanada.

Yeye ni mmoja wa waanzilishi wa bendi ya Odds, ambayo ilitoa albamu nne kati ya mwaka 1991 na 1996.[1] [2]

  1. James H. Marsh (1999). The Canadian Encyclopedia. The Canadian Encyclopedia. ku. 1699–. ISBN 978-0-7710-2099-5.
  2. "Canadian Rock Music Explodes, March 27, 1995". The Canadian Encyclopedia. Iliwekwa mnamo Oktoba 8, 2019.{{cite encyclopedia}}: CS1 maint: date auto-translated (link), from Maclean's

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne