Daniel E. Garcia

Daniel E. Garcia

Daniel Elias Garcia (alizaliwa 30 Agosti 1960) ni kiongozi wa Kanisa Katoliki kutoka Marekani. Alitawazwa kuwa askofu msaidizi wa Jimbo la Austin, Texas, tarehe 3 Machi 2015. Tarehe 29 Januari 2019, aliteuliwa kuwa askofu wa tano wa Jimbo la Monterey, California.[1] [2]

  1. "Bishop Daniel E. Garcia". Diocese of Monterey (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2024-02-16.
  2. "Pope Francis Names Auxiliary Bishop to Lead Diocese of Monterey | USCCB". www.usccb.org (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2024-02-16.

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne