David Bowie - 1983 jalada la kuchochea kibiashara albamu ya Let's Dance.
David Robert Jones (8 JanuarI 1947 – 10 JanuarI 2016[1]) alikuwa mwimbaji, mtunzi wa nyimbo, na mwigizaji maarufu kutoka nchini Uingereza. Alijulikana zaidi kwa jina lake la kisanii kama David Bowie.
Bowie alizaliwa akiwa na jina la David Robert Jones tarehe 8 Januari 1947, mjini Brixton, London, Uingereza.[2]