Deuterokanoni

Vitabu vya deuterokanoni (kutoka Kigiriki "deuteros" = ya pili na "kanon" = orodha[1]) ni maandiko yanayotazamwa na Wakatoliki, na baadhi ya Waorthodoksi na ya Makanisa ya Kale ya Mashariki kama sehemu kamili ya Agano la Kale katika Biblia ya Kikristo[2].

Vitabu hivyo viliandikwa miaka 300 - 50 KK[3][4][5].

Wayahudi na Waprotestanti wengi huviita apokrifa na kuvitazama kama vitabu vinavyostahili kuheshimiwa lakini si sawa na Biblia yenyewe[6].

  1. Bogaert, Pierre Maurice (2012). "The Latin Bible. c 600 to c. 900". Katika Richard Marsden; E. Ann Matter (whr.). New Cambridge History of the Bible; Vol II. Cambridge University Press. ku. 69–92.
  2. Michael D., Coogan; na wenz., whr. (2018). "The Canons of the Bible". The New Oxford Annotated Bible: New Revised Standard Version: An Ecumenical Study Bible (tol. la 5th). New York: Oxford University Press. ku. 1839, 1841. ISBN 978-0-19-027605-8. OCLC 1032375119.
  3. Livingstone, E. A. (2013). The Concise Oxford Dictionary of the Christian Church (kwa Kiingereza). OUP Oxford. ku. 28–29. ISBN 978-0-19-107896-5. Iliwekwa mnamo 17 Juni 2020.{{cite book}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  4. International Standard Bible Encyclopedia Online. "Apocrypha". International Standard Bible Encyclopedia Online. Wm. B. Eerdmans Publishing Co. Iliwekwa mnamo 7 Oktoba 2019.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  5. Gleason L. Jr., Archer (1974). A Survey of Old Testament Introduction. Chicago, IL: Moody Press. uk. 68. ISBN 9780802484468. Iliwekwa mnamo 7 Oktoba 2019.{{cite book}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  6. The Popular and Critical Bible Encyclopædia and Scriptural Dictionary, Fully Defining and Explaining All Religious Terms, Including Biographical, Geographical, Historical, Archæological and Doctrinal Themes, p.521, edited by Samuel Fallows et al., The Howard-Severance company, 1901,1910. – Google Books

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne