Dhambi ya asili

Dhambi ya asili (au dhambi asili) ni jinsi Wakristo wa madhehebu mbalimbali wanavyoita dhambi ya kwanza ya watu ambayo imekuwa asili ya dhambi zote (Rom 5:12) na ya uharibifu wa tabia ya binadamu na ya dunia kwa jumla (Rom 8:19-25).


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne