Dodoma (mji)

Jiji la Dodoma
Jiji la Dodoma is located in Tanzania
Jiji la Dodoma
Jiji la Dodoma
Majiranukta: 6°10′23″S 35°44′31″E / 6.17306°S 35.74194°E / -6.17306; 35.74194
Nchi Tanzania
Mkoa Mkoa wa Dodoma
Halmashauri Halmashauri ya jiji la Dodoma
Kata 41
Mitaa 222
Serikali[1]
 - Aina ya serikali Halmashauri ya jiji
 - Mstahiki Meya Davis G. Mwamfupe
 - Mkurugenzi wa Jiji Joseph C. Mafuru
Idadi ya wakazi (2022)https://www.nbs.go.tz
 - Wakazi kwa ujumla 765,179
EAT (UTC+3)
Msimbo wa posta 411xx
Kodi ya simu 026
Tovuti:  Halmashauri ya Jiji la Dodoma
Mkuwa wa Dodoma

Dodoma ni mji mkuu wa Tanzania na pia ni Jiji.

Ilitangazwa kuwa mji mkuu wa Tanzania mwaka 1973, lakini mnamo tarehe 26 Aprili 2018 katika maadhimisho ya miaka 54 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar, rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa awamu ya tano John Magufuli aliupandisha hadhi na kutangaza rasmi kuwa Dodoma ni Jiji.[2][3] [4][5][6] Ofisi kuu za wizara na taasisi nyingi za serikali hatimaye zilihamia Dodoma katika miaka 2016 - 2019.[7][8]

Jiji hili pia ni makao makuu ya Mkoa wa Dodoma na eneo lake linahesabiwa kama Wilaya ya Dodoma yenye postikodi namba 41100[9].

Eneo la mji liko mita 1135 juu ya usawa wa bahari UB. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, mji wa Dodoma ulikuwa na wakazi wapatao 410,956 waishio humo.[10]: 17  Mwaka 2022 walihesabiwa 765,179 [11].

  1. Hitilafu ya kutaja: Invalid <ref> tag; no text was provided for refs named Dodoma
  2. https://www.ikulu.go.tz/index.php/media/press_release# Ilihifadhiwa 2 Machi 2018 kwenye Wayback Machine. tovuti ya ikulu iliangaliwa tar 26 April 2018
  3. https://globalpublishers.co.tz/rais-magufuli-atangaza-dodoma-kuwa-jiji-video iliangaliwa 26 Aprili 2018
  4. https://www.youtube.com/watch?v=FPqrlspV0zI iliangaliwa 26 Aprili 2018
  5. https://www.youtube.com/watch?v=TWdZAa_-syQ iliangaliwa 26 Aprili 2018
  6. https://www.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/24212-dodoma-yasubiri-baraka-kuwa-jiji Ilihifadhiwa 26 Aprili 2018 kwenye Wayback Machine. iliangaliwa 26 Aprili 2018
  7. http://www.mwananchi.co.tz/habari/Serikali-kuhamia-Dodoma/1597578-3295558-wvnu7h/index.html
  8. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2017-01-26. Iliwekwa mnamo 2018-04-26.
  9. "Nakala iliyohifadhiwa" (PDF). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo (PDF) mnamo 2020-03-21. Iliwekwa mnamo 2017-10-07.
  10. Hitilafu ya kutaja: Invalid <ref> tag; no text was provided for refs named Sensa_2012
  11. https://www.nbs.go.tz

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne