Domnini wa Digne

Domnini wa Digne (alifariki Digne, leo nchini Ufaransa, 5 Novemba 379) alikuwa askofu wa kwanza wa mji huo kuanzia mwaka 364[1] [2]na wa mji wa Vienne[3].

Mzaliwa wa Afrika Kaskazini, alikwenda Roma mwaka 313 kushiriki sinodi dhidi ya Wadonati akatumwa na Papa Miltiades huko Ufaransa alipoinjilisha sehemu mbalimbali hadi Italia Kaskazini.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[4]

  1. "L'histoire du diocèse". Diocèse catholique de Digne Riez et Sisteron. 16 Novemba 2011. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2016-05-25. Iliwekwa mnamo 12 Nov 2012.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. "Saints Vincent et Domnin". Nominis. Iliwekwa mnamo 12 Nov 2012.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  3. Hugues Du Tems (1775). Le clergé de France, ou tableau historique et chronologique des archevêques, évêques, abbés, abbesses et chefs des chapitres principaux du royaume, depuis la fondation des églises jusqu'à nos jours, par M. l'abbé Hugues Du Tems. Brunet. uk. 279. Iliwekwa mnamo 12 Novemba 2012.{{cite book}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  4. Martyrologium Romanum

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne