Doris Lessing

Doris May Lessing (amezaliwa 22 Oktoba 1919) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Uingereza akiwa amezaliwa nchini Uajemi. Aliandika pia chini ya lakabu ya Jane Somers. Mwaka wa 2007 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Doris Lessing mwaka wa 2006

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne