Eddie Murphy

Eddie Murphy

Eddie Murphy kwenye sherehe za Tribeca mnamo 2010
Amezaliwa Edward Regan Murphy
3 Aprili 1961 (1961-04-03) (umri 63)
Brooklyn, New York, Marekani
Miaka ya kazi 1982 - hadi leo
Ndoa Nicole Mitchell Murphy (1993-2006)

Edward "Eddie" Regan Murphy (amezaliwa tar. 3 Aprili 1961, Brooklyn, New York City) ni mwigizaji wa filamu, mchekeshaji, na mwimbaji kutoka nchini Marekani. Eddie, pia amewahi kupata Tuzo ya Golden Globe mnamo mwaka wa 2006 na pia aliwahi kushindanishwa katika ugawaji wa Tuzo ya Academy mnamo mwaka wa 2001. Alikuwa mwanachama wa kawaidia kwenye kipindi cha TV cha Saturday Night Live kuanzia 1980 hadi 1984.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne