Edward Henry Howard

Edward Henry Howard (13 Februari 182916 Septemba 1892) alikuwa askofu mkuu wa Kanisa Katoliki kutoka Uingereza, ambaye alifanywa kardinali mwaka 1877. [1]

Alikuwa mtu wa ukoo wa Dukes wa Norfolk.[2][3]

Howard pia yuko katika mlolongo wa Kitume unaohusiana na Papa Fransisko.

  1. Burke's Peerage, vol. 2 (2003), page 2,911
  2. Miranda, Salvador. "Edward Henry Howard". The Cardinals of the Holy Roman Church. Iliwekwa mnamo 28 Juni 2020.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  3. "Edward Henry Cardinal Howard". Catholic-Hierarchy. Iliwekwa mnamo 8 Januari 2010.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne