Edward M. Grosz

Edward Michael Grosz (alizaliwa 16 Februari 1945) ni askofu wa Kanisa Katoliki kutoka Marekani.

Alihudumu kama askofu msaidizi wa Jimbo Katoliki la Buffalo, New York, kuanzia mwaka 1990 hadi 2020.[1] [2]

  1. "Rinunce e Nomine, 02.03.2020" (kwa Kiitaliano). Holy See Press Office. Machi 2, 2020. Iliwekwa mnamo Machi 2, 2020.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. Ciemcioch, Mark (Mei 20, 2011). "Bishop Grosz looks back on 40 years as a priest". Western New York Catholic. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo Februari 1, 2014. Iliwekwa mnamo Januari 26, 2014.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne