Esuperansi wa Cingoli (alizaliwa Afrika Kaskazini - alifariki Cingoli, Marche, Italia) alikuwa askofu wa mji huo mwishoni mwa karne ya 5[1].
Tangu zamani anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu[2].
Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 24 Januari[3].