Faustine Ndugulile

Faustine Ndugulile

Faustine Engelbert Ndugulile (31 Machi 1969 - 27 Novemba 2024) alikuwa mwanasiasa wa chama cha CCM nchini Tanzania na mbunge wa jimbo la Kigamboni tangu mwaka 2010.[1] Pia aliwahi kuwa waziri kwa nyakati tofauti [2].

  1. "Member of Parliament CV". Bunge la Tanzania. 2010. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2013-11-03. Iliwekwa mnamo 2017-05-06. {{cite web}}: Text "imeandaliwa Mei 2017" ignored (help)
  2. https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/huyu-ndiye-dk-faustine-ndungulile-4837816

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne