Felisi na Fortunati (walifariki Aquileia, Friuli, leo nchini Italia, mwanzoni mwa karne ya 4) walikuwa ndugu Wakristo kutoka Vicenza ambao waliuawa kwa kukatwa kichwa kutokana na imani yao wakati wa dhuluma ya kaisari Dioklesyano[1].
Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.