Florida

Florida
Jimbo
Kauli Mbiu
"In God We trust"
Ramani ya
Ramani ya
Eneo la Florida Marekani
Nchi Marekani
Mwaka wa Kujiunga March 3, 1845; Miaka 179 iliyopita (27th)
Mji Mkuu Jacksonville
Jiji kubwa Tallahassee
Lugha rasmi Kiingereza
Lugha Zinazoongewa Kiingereza: 67.3%

Kihispania: 21.2%

Nyinginezo: 11.5%
Utaifa Mflorida Floridian (en)
Serikali
Gavana Ron DeSantis (R)
Naibu Gavana Jeanette Nuñez (R)
Eneo
Jumla 170312 km²
Ardhi 138887 km²
Maji 31424 (18.45%)
Idadi ya Watu
Kadirio increase 23,372,215 (2024)
Pato la Taifa (2024)
Jumla increase $1.6 Trillioni (ya 3)
Kwa kila mtu increase $73,784
Kiashiria cha
Maendeleo ya Watu
(2018)
0.925 (25)
Maendeleo ya Juu Sana
Mapato ya Kati
ya Kaya (2023)
$73,300 (34)
Eneo la saa EST, CST , DST
Tovuti
🔗myflorida.com

Florida ni jimbo la Marekani la kujitawala katika kusini mashariki ya nchi. Umbo lake ni rasi inayoanza Marekani bara kuelekea Kuba. Upande wa magharibi ni maji ya ghuba ya Meksiko na upande wa mashariki maji ya Atlantiki. Upana wa rasi ni kati ya 160 hadi 200 km; upande wa kaskazini kabisa eneo la jimbo lapanuka kama kanda mwambaono wa ghuba ya Meksiko.

Florida imepakana na majimbo ya Marekani ya Georgia na Alabama. Nchi za Karibi za Kuba na Bahamas ni karibu.

Jina la Florida ni ya Kihispania, maana yake ni "yenye maua".

Ramani ya Florida

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne